.jpeg)
.jpeg)
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala wa NSSF, Ekwabi Mujungu, alipata fursa ya kutoa salamu katika mkutano wa 50 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi la NSSF. Mujungu amesisitiza kuendelea kusimamia maslahi ya wafanyakazi na pia alitoa wito kwa wafanyakazi kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma.
Katibu Msaidizi wa Sekta ya Taasisi za Fedha TUICO, Victor Leonard Kom akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wajumbe wa Mkutano w Baraza kuu la Wafanyakazi wa NSSF. Mabaraza ya wafanyakazi yapo kisheria kwa madhumuni ya kutoa ushauri na kusimamia haki na ustawi sehemu za kazi
Wajumbe wa mkutano wa 50 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakifuatilia kwa makini mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa AICC, jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...