Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza katika futari aliyowaandalia Waheshimiwa Wabunge na Watumishi wa Bunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson katika futari aliyowaandalia Waheshimiwa Wabunge na Watumishi wa Bunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson, akizungumza katika futari aliyowaandalia na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Waheshimiwa Wabunge na Watumishi wa Bunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wabunge na Watumishi wa Bunge, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, katika futari aliyowaandalia Waheshimiwa Wabunge na Watumishi wa Bunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Aprili 12, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...