Na Khadija Seif, Michuzi TV

Balozi wa Winprincess na Msanii wa Bongo Fleva, Gigy Money ametembelea banda la Winprincess Casino akiwa na Washiriki wa Miss Tanzania katika Maonesho ya 47 ya Biashara (Sabasaba).

Akizungumza wakati alipotembelea banda hilo, Gigy Money amesema kuwa kama Balozi ameona ubora wa Winprincess kutokana na kubashiri mechi mbali mbali na kushinda, huku akitoa wito kuweka fedha Winprincess kuliko kuweka fedha hizo kwenye kibubu.

Aidha, Gigy Money ameiomba Serikali iwaangalie sana Warembo (Miss Tanzania) pia ameshauri wazazi kuwapa vijana uhuru wa kuchagua fani hususani mabinti wanaopenda urembo kutokanana na tasnia hiyo imefungua fursa nyingi kwa wasichana wadogo. 

Sanjari na hayo ametoa mwito kwa vijana kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea kubashiri na Winprincess Casino kwani fedha zipo na yeye pia ni mmoja wa washindi wa kubashiri.


Balozi wa Winprincess na Msanii wa Bongo Fleva, Gigy Money akizungumza na Wanahabari mara baada ya kutembelea banda la Winprincess Casino katika Maonesho ya 47 ya Biashara akiwa na Warembo wa shindano la Miss Tanzania Jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...