Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza muuguzi wa Kituo cha Afya Lilambo Bi. Lightness Masasa kuhusu huduma zinazotolewa wakati wa kumpokea mgonjwa anayefika kituoni hapo wakati wa uzinduzi wa kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 21 Julai 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akipamba mti aina ya mparachichi katika eneo la Kituo cha Afya Lilambo wakati wa uzinduzi wa kituo hicho kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 21 Julai 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 21 Julai 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na wananchi mbalimbali wa kata ya Lilambo wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 21 Julai 2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...