Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kaimu Abdi Mkeyenge akitoa akitoa elimu kwa Umma kwa wananchi mbalimbali walipotembelea Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kaimu Abdi Mkeyenge akisikiliza swali lililokuwa linaulizwa na mmoja wa wananchi waliofika kwenye banda hilo kwa ajili ya kupatiwa elimu kuhusu TASAC kwenye maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kaimu Abdi Mkeyenge akizungumza na waandishi wa habari alipofika katika Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kaimu Abdi Mkeyenge akiwa kwenye picha ya pamoja na timu ya Maonesho ya TASAC katika Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...