


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Johari Msirikale kuhusiana na jinsi Mamlaka hiyo inavyopambana navitendo vya Rushwa wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya
Mapambano dhidi ya Rushwa Barani Afrika yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC Jijini Arusha tarehe 11 Julai, 2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...