Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais wa Indonesia Mhe.Joko Waidodo leo,alipohudhuria katika chakula cha mchana alichoandaliwa mgeni huyo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salama.[Picha na Ikulu] 22/08/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akita na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe.Dkt.Tulia Ackson (kulia) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam leo katika Chakula kilichoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa Mgeni wake Rais wa Indonesia Mhe.Joko Waidodo .[Picha na Ikulu] 22/08/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mara alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika Chakula kilichoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa Mgeni wake Rais wa Indonesia Mhe.Joko Waidodo leo mchana.[Picha na Ikulu] 22/08/2023.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi wakati alipojumuika katika hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa Mgeni wake Rais wa Indonesia Mhe.Joko Waidodo leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salama.[Picha na Ikulu] 22/08/2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...