.jpeg)

.jpeg)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua chumba cha TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkunguni chini ya Ufadhili wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) tarehe 29 Agosti, 2023 katika Shamra shamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...