Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Itigi,Bw. John Mgalula Naibu akizungumza kabla ya kumkaribisha  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kuzungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi ambapo amewataka Watumishi  kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.


Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimia na Katibu Tawala wa wilaya ya Manyoni ,Bw. James Mchembe  mara baada ya kuwasli katika              Halmashauri  hiyo kwa lengo la kuzungumza na watumishi ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.


Mkuu wa wilaya ya Manyoni  Mhe.Kemilembe Lwotta . akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete na Watumishi hao  ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.


Sehemu ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida wakimsiliza Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati alipofanya ziara mkoani humo kwa lengo la  kuwataka Watumishi hao  kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.


Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiandika changamoto zinazowakabili   Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi alichokifanya leo mkoani humo  ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu  katika kuwahudumia wananchi.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...