Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Itigi,Bw. John Mgalula Naibu akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kuzungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi ambapo amewataka Watumishi kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimia na Katibu Tawala wa wilaya ya Manyoni ,Bw. James Mchembe mara baada ya kuwasli katika Halmashauri hiyo kwa lengo la kuzungumza na watumishi ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.
Mkuu wa wilaya ya Manyoni Mhe.Kemilembe Lwotta . akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete na Watumishi hao ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.
Sehemu ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida wakimsiliza Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati alipofanya ziara mkoani humo kwa lengo la kuwataka Watumishi hao kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiandika changamoto zinazowakabili Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida kwenye kikao kazi alichokifanya leo mkoani humo ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu katika kuwahudumia wananchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...