Na John Walter-Manyara

Vituo vingi  mkoani Manyara havitoi huduma  kutokana na ukosefu wa mafuta huku kukishuhudiwa foleni Kubwa ya magari,pikipiki na bajaji kwenye kituo kimoja mjini Babati. 
Mjini Babati baadhi ya watu walionekana wakijaza mafuta wakiyatia ndani ya chupa za maji na madumu.
Katika wilaya ya Hanang', Katesh ni Kituo kimoja pekee kilikuwa kinatoa huduma Septemba 4.
Afisa biashara halmashauri ya mji wa Babati Fue Chedieli amesema Vituo vyote vilivyopo Mjini hapo vimeishiwa Mafuta na kwamba kituo kimoja pekee ndicho  kinachotoa huduma kuanzia asubuhi ya leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...