Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 4 Septemba, 2023.
Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia amemhakikishia Mhe.Biteko kuwa Bunge litampa ushirikiano wa kutosha ili kutimiza na kufanikisha shughuli za Serikali.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4esOwShzg68klR9-JEIRhgw_Mx9hcvNC6w5ONvFOdmL92rRf77qZ0woefk0tzCzmhwsisZgVjfEzhSUPsPkyw1xzDnASTl3cdhJOM1_PRSZifrqodMdZt0-oFrSImdFHAhJ-nZl6vNaPQnSMIS5LZohPiJTlmQaMDZ9UzbnMT7TQFbrtg9f_ijQ/w640-h424/0T9A8417.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...