Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na kuzungumza jambo na Rais wa Uruguay Mhe. Luis Lacalle Pou wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa the 2nd World Summit of the Committees of the Future uliofanyika katika Ukumbi wa Bunge la nchi hiyo Jijini Montevideo leo tarehe 25 Septemba, 2023.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na kuzungumza jambo na Rais wa Uruguay Mhe. Luis Lacalle Pou wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa the 2nd World Summit of the Committees of the Future uliofanyika katika Ukumbi wa Bunge la nchi hiyo Jijini Montevideo leo tarehe 25 Septemba, 2023.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...