![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVopAgte1JZVV4R4clhbgVoSBBC5P9Hdu8yiooi-dKO1nvMBhQ0ZpnnMM1tXeU6PDAlxLCt8ohRsVCHkAa9u3r3EBwDSEvRJLoHLG8IwKBasoIOA-AqhWm20G5y2w2C_X61GjBIw4diOvKT3T0nMG9sJekwA8u-9m3bAnYnPuLmYL7KlXM7jUErg/s16000/WhatsApp%20Image%202023-09-15%20at%203.19.29%20PM%20(1).jpeg)
Ngoma hiyo ya Lanke ni ina midundo ya Afropop, iliyofanywa kwa ustadi mkubwa sana.Na video yake imetengezwa kwa mandhari nzuri ya kiangazi.
Teni ambaye hapo awali alitoa ngoma ya No Days Off mapema mwaka huu na msanii wa Marekani, Dojacat pamoja na Cheekychizzy. anajiandaa kudondosha kazi yake kubwa mwaka huu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...