Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya huduma za Maktaba Tanzania(BOHUMATA) Dkt.Mboni Ruzega akitia saini kwenye kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Taasisi ya Elimu Tanzania(TET) katika Kongamano la tatu la Kitaifa la Huduma za Maktaba,Tamasha la Vitabu na Usomaji liloanza leo Septemba 19 hadi 21 katika viwanja vya chuo cha Benki Kuu Mwanza (BOT).

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki pamoja na wachapishaji mbalimbali wa vitabu nchini.

Maonesho hayo ni muhimu kwani vitabu ni nyezo muhimu katika suala la ufudishaji na ujifunzaji .

Tamasha hilo linawakutanisha wachapishaji mbalimbali na wananchi wa kawaida ambao watapata nafasi ya kusoma vitabu mbalimbali vinaoneshwa kwenye maonesho hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...