Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amempokea Rais wa Sénégal, Mhe. Macky Sall  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambaye amewasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Mifumo ya Chakula barani Afrika ambao umeanza nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023.




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...