Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi  kwa Mwaka 2023 yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, Septemba 14, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya washiriki wa Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi  kwa Mwaka 2023  wakisikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipozungumza akimuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, Septemba 14, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kionesha tuzo ya kutambua mchango wake wa kuendeleza taaluma ya uhandisi   aliyopewa na Bodi ya Usajili  wa   Wahandisi  alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi  kwa Mwaka 2023 yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, Septemba 14, 2023. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya na kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi, Mhandisi Menye David Manga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wahandisi mahili  waliosajilwa hivi karibuni na Bodi ya  Usajili wa Wahandisi   wakila kiapo cha uaminifu katika Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi  kwa Mwaka 2023 yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, Septemba 14, 2023. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alimuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho hayo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...