Baadhi ya wanawake wa kijiji cha Nangumbu wilayani Ruangwa wakimpokea
kwa nderemo na vifijo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge
wa Ruangwa wakati alipowasili kijijini hapo kuwasalimia wananchi,
Septemba 10, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Ruangwa, Septemba 10, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Ruangwa, Septemba 10, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...