Baadhi ya wanawake wa kijiji cha Nangumbu wilayani Ruangwa wakimpokea kwa nderemo na vifijo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa wakati alipowasili kijijini hapo kuwasalimia wananchi, Septemba 10, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Ruangwa, Septemba 10, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...