Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki Mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWUIJ96UWeWXzDJoE3HpN12WRuPvWTv28--7B9s57kSr1jYGuIdvqv1BPM4LA2Eb7KAcIBsbSl0F9WQMy_zRjaatLG9palMAaSwuweEROFySrXbhaiJD2jVQDwxo5pcHB3rxCCMUkLaqN4z1wKciR7SDExcN4W1wfILo6Do6AuiD-6m_MvZMo5EquhAGd5/s16000/WhatsApp%20Image%202023-09-11%20at%2015.19.27.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWUIJ96UWeWXzDJoE3HpN12WRuPvWTv28--7B9s57kSr1jYGuIdvqv1BPM4LA2Eb7KAcIBsbSl0F9WQMy_zRjaatLG9palMAaSwuweEROFySrXbhaiJD2jVQDwxo5pcHB3rxCCMUkLaqN4z1wKciR7SDExcN4W1wfILo6Do6AuiD-6m_MvZMo5EquhAGd5/s16000/WhatsApp%20Image%202023-09-11%20at%2015.19.27.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...