Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki Mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara Sanlam Life Insurance,Kyenekiki Kyando kulia akiwa na watumishi wa Sanlam Insurance  katika picha ya pamoja  baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...