Branch Manager Benki ya CRDB tawi la Ubungo,Hollo Buyamba akizungumza na wateja pamoja na  wafanyakazi benki siku ya Wiki ya Huduma kwa Wateja leo jijini Dar es Salaam. ( PICHA NA EMMANUEL MASSAKA WA MMG )
Branch Manager Benki ya CRDB tawi la Ubungo,Hollo Buyamba (kulia) akipokea zawadi kwa mmoja wa wateja wa benki hiyo, mara baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa sherehe za Wiki ya Huduma kwa wateja wa benki hiyo leo jijini Dar es Salaam.












Ilikuwa ni fursa ya pekee kwa wafanyakazi hawa wa Benki ya CRDB kupiga picha mbali mbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja  leo jijini Dar es Salaam.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...