
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Masoko na Habari kutoka Wakala Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Bw. Prosper Haule akitoa elimu kwa wadau wa Mifugo waliotembelea banda la TVLA kujifunza kazi zinazofanywa na TVLA pamoja matumizi sahihi ya chanjo za Mifugo zinazozalishwa na TVLA kwenye maonesho ya pili ya Kilimo Biashara na Kilimo Marathon 2023 yanayofanyika Gairo Kata ya Chakwale Mnadani Mkoa wa Morogoro Oktoba 13, 2023. Kulia kwake ni Mtaalamu wa TVLA kituo cha Dodoma Bw. Anastasius Ngatata



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...