
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel leo tarehe 19/10/2023 amewasili Mkoani Tanga na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Waziri Kindamba kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo .
Aidha, katika ziara hiyo Dkt.Mollel ameongozana na watalamu mbalimbali kutoka Wizara ya Afya.
Dkt. Mollel atatembelea Hospitali ta Rufaa Bombo kukagua hali ya utoaji huduma na kisha kufanya kikao na watumishi wote wa Hospitali hiyo.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...