
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa wakati wakivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Wilayani Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023



Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika eneo la Mkutano wa hadhara pembezoni mwa Daraja la Msingi, Wilayani Mkalama katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023
Taswira ya Daraja la Msingi lenye urefu wa Mita 100, lililopo katika Kijiji cha Msingi, Mkalama Mkoani Singida. Daraja hilo limezinduliwa Rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Oktoba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Daraja la Msingi lililopo Mkalama Mkoani Singida tarehe 16 Oktoba, 2023
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...