

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Iramba kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Shelui katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
Wananchi wa Shelui pamoja na Vijiji Jirani wakiwa kwenye Mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Shelui Mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023. 
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...