Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara, Wakuu wa Taasisi mbalimbali pamoja na Wawekezaji kutoka India na Tanzania kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara uliofanyika New Delhi tarehe 10 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India katika muendelezo wa Ziara yake ya Kitaifa, New Delhi 10 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi tarehe 10 Oktoba, 2023.


Viongozi, Wafanyabiashara pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi tarehe 10 Oktoba, 2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...