

Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la
Wafanyabiashara wa Tanzania na India katika muendelezo wa Ziara yake ya
Kitaifa, New Delhi 10 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa
Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba wakati wa
Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi
tarehe 10 Oktoba, 2023.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...