Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al-haj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa chama cha Wajane wa Afrika (TAWS) Bi.Hope Nwakwesi (kulia kwa Rais)akitoa maelezo kuhusu kufanyika kwa mkutano mkubwa wa Wajane wa Afrika hapa Zanzibar utakaoshirikisha zaidi ya Nchi 54,wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe aliofuatana nao leo.[Picha na Ikulu] 19/12/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al-haj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Ujumbe wa Chama cha Wajane Afrika ulioongozwa na Mwenyekiti wa chama cha Wajane wa Afrika (TAWS) Bi.Hope Nwakwesi (wa pili kulia) wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 19/12/2023.
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wajane Tanzania (TAWIA) Ndg.Rose Sarwart na Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar (ZAWIO) Ndg.Tabia Makame wakiwa katika mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al-haj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) walipoungana na Mwenyekiti wa chama cha Wajane wa Afrika (TAWS) Bi.Hope Nwakwesi Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 19/12/2023.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Mhe.Riziki Pembe Juma akiwa na Wajumbe wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar (ZAWIO) katika mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al-haj Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo yanayohusu maandalizi ya kufanyika kwa mkutano mkubwa wa Wajane wa Afrika hapa Zanzibar utakaoshirikisha zaidi ya Nchi 54.[Picha na Ikulu] 19/12/2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...