Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita kulia akikunjuwa Kitambaa kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi Ukumbi wa kufanyia Mitihani Bambi Skuli Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita akipatiwa Maelezo na Mhandisi kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Khamis Yussuf  Bakari kuhusiana na Ukumbi wa kufanyia Mitihani katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Ukumbi huko Bambi Skuli  Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar

 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji TASAF Makao Makuu Shadrak Mzirai akitoa salamu na Maelezo ya Mradi katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Ukumbi wa kufanyia Mitihani  Bambi Skuli  Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar

 

Katibu  Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dk Islamu Seif Salum akitoa taarifa ya kitaalamu katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Ukumbi wa kufanyia Mitihani  Bambi Skuli  Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita akitoa Hotuba katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Ukumbi wa kufanyia Mitihani  Bambi Skuli  Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...