MTAMA-LINDI
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ametoa siku 30 kwa Mkandarasi Halem Construction kukamilisha ujenzi wa Mradi wa Maji Navanga.
Waziri Aweso ameyasema hayo alipofika Jimbo la Mtama kutembelea na kukagua mradi wa Maji ukanda wa Navanga unaotekelezwa katika kata 5 zilizopo katika Wilaya ya Lindi ambao kwasasa umefikia asilimia 90.
Mradi huu wenye thamani ya Bilion 4.5 utahudumia vijiji hivi vyenye jumla ya watu wapatao 17,015 wenye wastani wa mahitaji ya Maji lita 425,375 kwa siku.
Akihitimisha hotuba yake Waziri Aweso amefikisha salamu za Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe Nape Moses Nnauye aliemuomba kwa dhati kufika Navanga na alieupigania mradi huo kwa dhati mpaka ulipofikia hatua hii ya kukamilika.
.jpeg)




Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ametoa siku 30 kwa Mkandarasi Halem Construction kukamilisha ujenzi wa Mradi wa Maji Navanga.
Waziri Aweso ameyasema hayo alipofika Jimbo la Mtama kutembelea na kukagua mradi wa Maji ukanda wa Navanga unaotekelezwa katika kata 5 zilizopo katika Wilaya ya Lindi ambao kwasasa umefikia asilimia 90.
Mradi huu wenye thamani ya Bilion 4.5 utahudumia vijiji hivi vyenye jumla ya watu wapatao 17,015 wenye wastani wa mahitaji ya Maji lita 425,375 kwa siku.
Akihitimisha hotuba yake Waziri Aweso amefikisha salamu za Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe Nape Moses Nnauye aliemuomba kwa dhati kufika Navanga na alieupigania mradi huo kwa dhati mpaka ulipofikia hatua hii ya kukamilika.
.jpeg)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...