KIPUTE cha michuano ya kombe la FA itaendelea leo jumamosi ambapo michezo kadhaa itapigwa katika viwanja mbalimbali, Huku ikiw ani nafasi pia ya kuweza kutengeneza mkwanja kupitia michezo hiyo.

Meridianbet watarahahisha suala la wewe kupiga mkwanja kwani kupitia michezo ya leo mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wameweka Odds kubwa na za kibabe, Hivo unaweza kujipigia mkwanja katika michezo hiyo kiulaini kabisa.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Klabu ya Chelsea leo watashuka dimbani kukipiga dhidi ya klabu ya Preston North End katika mchezo wa raundi ya tatu wa michuano ya kombe la FA, Huku matajiri hao kutoka jijini London wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani.

Mchezo mwingine mkali utakua kati ya klabu ya Stoke City ambao watakua nyumbani katika dimba lao la Britania kuwakaribisha vijana wa kocha Roberto De Zerbi klabu ya Brighton Hove and Albion mchezo unaotarajiwa kua mkali.

Pale katika dimba la St. Marrys klabu ya Southampton itakua nyumbani kuikaribisha klabu ya Walsall, Southampton wanaonekana kupewa nafasi kubwa ya kushinda mchezo huu lakini Walsall wanaweza kuwashangaza wengi.

Vinara wa ligi daraja la kwanza nchini Uingereza klabu ya Leicester City leo watakua ugenini kukipiga na Milwall katika mchezo wa raundi ya tatu wa kombe la FA, Mchezo huu unatarajiwa kua wenye ushindani mkubwa kutokana na fomu ya timu zote mbili.

Aston Vila watakua ugenini wakikipiga na wenyeji wao Middlesbrough katika mchezo wa wa raundi ya tatu wa michuano ya kombe la FA, Huku vijana wa Unai Emery licha ya ku ugenini wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushinda licha ya kua ugenini.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee

ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia na uweke mkeka wako.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...