Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, akifafanua jambo baada ya kuwasilisha Taarifa kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya kamati kwa mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa mkutano wa kumi wa Bunge mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Bungeni, jijini Dodoma, leo Tarehe 17 Januari, 2024.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi Aisha Amour, akitoa ufafanuzi wa hoja zilizowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakati wa uwasilishwaji wa Taarifa kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya kamati kwa mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa mkutano wa kumi wa Bunge mbele ya Kamati hiyo Bungeni, jijini Dodoma, leo Tarehe 17 Januari, 2024. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya.
Baadhi ya wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake wakisikiliza Taarifa kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya kamati kwa mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa mkutano wa kumi wa Bunge mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Bungeni, jijini Dodoma, leo Tarehe 17 Januari, 2024.
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Mohamed Besta akijibu hoja za wajumbe baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya kamati kwa mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa mkutano wa kumi wa Bunge mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Bungeni, jijini Dodoma, leo Tarehe 17 Januari, 2024.

PICHA NA WU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...