Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa wiki ya sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari 27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Akson na viongozi wengine mbalimbali wa Makama. Maadhimisho ya Wiki ya sharia yalianza Januari 24,2024 na yanataraji kufikia tamati Februari 1, mwaka huu. 

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele pamoja na Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa),  Mwanaisha Kwariko ni miongoni mwa watumishi wa Mahakama walioshiriki matembezi hayo. 

Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakishiriki matembezi hayo.
Majaji mbalimbali wa Mahakama ya Rufaa wakiwa katika ufunguzi wa Wiki ya Sheria. 
Meza Kuu Ikiongozwa na Mgeni Rasmi, Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wakiiamba wimbo wa Taifa.

Majaji wa Mahakama ya Rufaa wakishiriki kuimba Wimbo wa taifa na ule wa Afrika Mashariki wakati wa sherehe za ufunguzi wa Wiki ya Sheria Kitaifa iliyofanyika Januari 27,2024 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma leo. 
Picha mbalimbali za pamoja. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...