Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, leo amezindua rasmi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) zilizotengenezwa na mbuifu wa mitindo nchini, Sheria Ngowi kwa udhamini wa Benki ya CRDB, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Viwanja vya Nyamanzi, Uguja Zanziar.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...