Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, leo amezindua rasmi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) zilizotengenezwa na mbuifu wa mitindo nchini, Sheria Ngowi kwa udhamini wa Benki ya CRDB, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Viwanja vya Nyamanzi, Uguja Zanziar.











Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...