Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Dkt. Aman Abeid Karume akisoma moja ya kitabu katika Banda la Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) alipotembelea banda la TASAC kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Dkt. Aman Abeid Karume akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi Ukaguzi wa Meli kutoka Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kapt. Ghadaf Chambo kuhusu namna ya kusajiliwa kuwa kapteni wa meli alipotembelea banda la TASAC kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Dkt. Aman Abeid Karume akizungumza na watumishi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) alipotembelea banda la TASAC kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Dkt. Aman Abeid Karume akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu meneja Masoko na Uhusiano kwa Umma TASAC, Mariam Mwayela mara baada ya kutembelea Banda la Shirika hilo kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...