
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akichangia mjadala wakati wa Mkutano wa 27 Maspika na Wenyeviti wa Mabunge Wanachama wa Jumuiya ya Madola wakati wa uwasilishaji mada kuhusu usalama wa Wabunge unaofanyika katika Ukumbi wa Speke Resort Munyonyo nchini Uganda leo tarehe 6 Januari, 2024.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...