WAKALA wa barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wameweza kurejesha mawasiliano yaliyokatika kutokana daraja la Mbopo Madale katika halmashauri ya Wilaya Kinondoni kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa.
Taraja hilo limeonganisha mawasiliano kutoka Madale- Mbopo hadi Bunju Km 16.5 Wilayani Kinondoni Jijini Dar es Salaam.



Taraja hilo limeonganisha mawasiliano kutoka Madale- Mbopo hadi Bunju Km 16.5 Wilayani Kinondoni Jijini Dar es Salaam.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...