WAKALA wa barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wameweza kurejesha mawasiliano yaliyokatika kutokana daraja la Mbopo Madale katika halmashauri ya Wilaya Kinondoni kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa.

Taraja hilo limeonganisha mawasiliano kutoka Madale- Mbopo hadi Bunju Km 16.5 Wilayani Kinondoni Jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...