Viongozi mbalimbali wa Wizara na Taasisi wameendelea kufurika ndani banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) na kujipatia elimu ya Usafiri wa Anga pamoja na huduma mbalimbali zinapatikana katika Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC)ndani ya maonesho ambayo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba Nyamanzi, Zanzibar kuanzia Januari 08-21,2024.

Wageni hao wameongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Ki uchumi wa TCAA Bw. Daniel Malanga, Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka Teophory Mbilinyi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Bw. Mussa Mbura, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mikeli Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi, Kaimu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT) Dkt. Zainabu Mshana, Mkurugenzi Mtendaji wa KADCO, Christine Mwakatobe.

Pia Mkurugenzi wa Huduma za Uchukuzi-Wizara ya Uchukuzi, Biseko Chiganga, Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) Dkt. Tumaini Gurumo, Mkurugenzi wa Sera na Mipango -Wizara ya Uchukuzi Maseke Mabiki, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mohamed Malick Salum, Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nahodha Mussa Mandia na Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Profesa Ulingeta Mbamba

CATC moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni moja kati ya vyuo tisa vyenye sifa hizo Afrika na 35 duniani.
Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Uchumi Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Daniel Malanga akipata maelezo kutoka kwa Afisa Habari na Masoko Mwandamizi Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC) Ally Changwila katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Uchumi Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Daniel Malanga akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Habari na Masoko Mwandamizi Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC) Ally Changwila katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Bw. Mussa Mbura akizungumza jambo mara baada ya kupata maelezo katika Banda la Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar. Wa kwanza kulia ni Omary Haji Kaimu Meneja wa TCAA Kituo Cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Bw. Mussa Mbura pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mikeli Mbossa wakipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid walipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mikeli Mbossa akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mikeli Mbossa akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Meneja wa TCAA Kituo Cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Omary Hajimara baada ya kutembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Bw. Mussa Mbura akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Meneja wa TCAA Kituo Cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Omary Hajimara baada ya kutembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.

Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nahodha. Mussa Mandia akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka Teophory Mbilinyi alipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nahodha Mussa Mandia akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nahodha. Mussa Mandia akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka Teophory Mbilinyi alipotembelea Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid alipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT) Dkt. Zainabu Mshana akizungumza jambo mara ya kupata maelezo kuhusu Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) kinachomilikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika maonesho ambayo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT) Dkt. Zainabu Mshana akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid alipotembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ambapo amepata maelezo kuhusu utendaji wa shughuli za Mamlaka Pamoja na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) katika maonesho ambayo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa KADCO, Christine Mwakatobe akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Habari na Masoko Mwandamizi Chuo cha Usafiri wa Anga(CATC) Ally Changwila baada ya kutembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Huduma za Uchukuzi-Wizara ya Uchukuzi, Biseko Chiganga akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Meneja wa TCAA Kituo Cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Omary Hajimara alipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Huduma za Uchukuzi-Wizara ya Uchukuzi, Biseko Chiganga akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid mara baada ya kutembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) Dkt. Tumaini Gurumo akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) Dkt. Tumaini Gurumo akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid alipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango -Wizara ya Uchukuzi Maseke Mabiki akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango -Wizara ya Uchukuzi Maseke Mabiki akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid alipotembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ambapo amepata maelezo kuhusu utendaji wa shughuli za Mamlaka Pamoja na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) katika maonesho ambayo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mohamed Malick Salum akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka Teophory Mbilinyi alipotembelea katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Profesa Ulingeta Mbamba akisaini Kitabu katika katika Banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Profesa Ulingeta Mbamba akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha huduma za Viwanja Vya Ndege kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) Thamarat Abeid alipotembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ambapo amepata maelezo kuhusu utendaji wa shughuli za Mamlaka Pamoja na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) katika maonesho ambayo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...