
Mmoja wa Majeruhi hao amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Mindu Barabara kuu ya Morogoro _Iringa majira ya asubuhi moja asubuhi huku chanzo chake kikiwa ni uzembe wa dereva wa basi la abiria kuhama upande wake bila kuchukua tahadhari na kuigonga bajaji hiyo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...