Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akiwa katika mazungumzo na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali wa Mkoa wa Kagera, baada ya kuwasili na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba, mkoani Kagera, leo Jumatatu, Februari 19, 2024, kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Balozi (mstaafu) Dk. Deodorus Buberwa Kamala, anayetarajiwa kuzikwa kesho Jumanne, Februari 20, 2024, kijijini kwake Bwanjai, Wilaya ya Misenyi, mkoani humo.



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akipokelewa na kusalimiana na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Bukoba, mkoani Kagera, leo Jumatatu, Februari 19, 2024, kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Balozi (mstaafu) Dk. Deodorus Buberwa Kamala, anayetarajiwa kuzikwa kesho Jumanne, Februari 20, 2024, kijijini kwake Bwanjai, Wilaya ya Misenyi, Mkoa wa Kagera.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...