Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna. Pamoja na mambo Mengine Mheshimiwa Majaliwa amepongeza mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Benki hiyo kwa hesabu za Mwaka 2023.

Kwa upande wake Bi.Zaipuna ameshukuru na kupongeza ushirikiano wanaoupata kutoka kwa Serikali pamoja na mazingira bora ya utendaji ya biashara ambayo yamechangia ukuaji wa benki hiyo.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...