RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Bandari ya Malindi Zanzibar, akiwa katika ziara yake leo 26-2-2024 katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Akif Ali Khamis na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na (kulia kwa Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt. Khalid Salum Mohammed.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Ndg.Akif Ali Khamis, wakati wa ziara yake kutembelea Bandari ya Malindi Jijini Zanzibar kujionea huduma zinazotolea kwa Wafanyabiashara wanaotumia Bandari ya Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa. (Picha na Ikulu)
WACHUKUZI wa Bandari ya Malindi Zanzibar na Wafanyakazi wa Majahazi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza wakati wa ziara yake kutembelea Bandari ya Malindi Zanzibar leo 26-2-2024, kujionea utendaji Kazi wa Bandari hiyo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Naibu Katibu wa Ushirika wa Wachukuzi Bandari ya Malindi Zanzibar Ndg.Yahya Andrea Pima, akizungumza na kutoa changamoto zao, wakati wa ziara yake kutembelea Bandari ya Malindi Zanzibar leo 26-2024, na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyabishara, Wafanyakazi wa Bandari na Wachukuzi wa mizigo, wakati wa ziara yake ya kutembelea Bandari hiyo iliyofanyika leo 26-2-2024.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...