Mhe. Phaustine Kasike, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji amekutana na Ujumbe wa Taasisi ya Nafaka ya Msumbiji (ICM) uliyoongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Bw. Alfredo da Piedade João Nampuio, tarehe 29 Februari, 2024.
Ujumbe huo ulifika katika Ofisi za Ubalozi kwa ajili ya kujitambulisha na kuwasilisha ombi la kutaka kuanzisha Ushirikiano kati yake na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) nchini Tanzania. Pamoja na mambo mengine, ushirikiano huo utawezesha upatikanaji wa soko la mahindi nchini Msumbiji.
Imetolewa na Ubalozi wa Tanzania Maputo



Ujumbe huo ulifika katika Ofisi za Ubalozi kwa ajili ya kujitambulisha na kuwasilisha ombi la kutaka kuanzisha Ushirikiano kati yake na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) nchini Tanzania. Pamoja na mambo mengine, ushirikiano huo utawezesha upatikanaji wa soko la mahindi nchini Msumbiji.
Imetolewa na Ubalozi wa Tanzania Maputo




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...