Usiku wa kuamkia leo Machi 28,2024 kumetokea ajali iliyohusisha mabasi mawili na roli la mafuta katika eneo la JKT Club karibu na Mlandizi mkoani Pwani.
Mabasi hayo ni Kampuni ya Sauli pamoja na New Force Taarifa zaidi za chanzo cha ajali hiyo na majeruhi zitatolewa baadaye leo na kamanda wa polisi.
Endelea kutufuatilia kwenye page zetu Michuzi Tv, Michuzi blog kupata taarifa zaidi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...