Na Mwamvua Mwinyi,Pwani

Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amekabidhi pikipiki 6 kwa Maafisa Ugani wa Halmashauri wa Halmashauri ya Chalinze ikiwa ni sehemu ya kuendelea kuwapatia Vitendea kazi Watumishi kwenye sekta ya Kilimo na Mifugo .

Akikabidhi Pikipiki hizo , Ridhiwani ameeleza, zimetolewa na Serikali Kuu kupitia Wizara ya Kilimo na zinalenga kuwawezesha  maafisa Ugani kuweza kufika katika maeneo na kwa wenye uhitaji ili kuboresha sekta ya kilimo ."Kugawiwa kwa pikipiki hizi kunafanya maafisa ugani waliopewa vifaa hivi kufika 14 kati ya kata 16 za Halmashauri hii".

Halmashauri ya Chalinze ni moja kati ya Halmashauri zinazoongoza kwa kilimo katika eneo la Mashariki ya Tanzania.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...