NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

MSHAMBULIAJI wa Azam Fc na raia wa Zimbabwe Price Dube rasmi amewaaga mashabiki wa timu yake kwa kuandika ujumbe katika mitandao ya kijamii na kuwashukuru mashabiki hao kwa mchango mkubwa ambao wameutoa.

Hivi karibuni kulitokea mvutano baina ya mchezaji huyo na timu yake kutaka kuvunja mkataba na kuangalia maisha mengine nje ya klabu hiyo lakini timu hiyo ilitaka afuate utaratibu wa mkataba aidha kulipa gharama ya kuvunja mkataba kwa gharama ya dola laki tatu au asubiri mkataba wake uishe 2027.

Dube hajacheza mechi kadhaa za ligi kutokana na majeruhi aliyoyapata hivi karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...