His Royal Highness Mohamed Bin Salim Al Said, Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman mstaafu,  akisaini kitabu cha maombolezi kufuatia msiba wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi katika ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman

 His Royal Highness Mohamed Bin Salim Al Said, Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Oman mstaafu, akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Oman Mhe. Fatma Mohamed Rajab baada ya kusaini  kitabu cha maombolezi

Sheikh Ahmed Ali Sharif Al Amri akisaini kitabu cha maombolezi katika Ubalozi wa Tanzania mjini Muscat, Oman



Sheikh Ahmed Ali Sharif Al Amri  na Balozi wa Tanzania nchini Oman Mhe. Fatma Mohamed Rajab baada ya kusaini  kitabu cha maombolezi



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...