Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akiwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Uongozi cha Julius Nyerere, Dkt. Nansozi Muwanga alipotembelea Kituo hicho kilichopo ndani ya Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala, Uganda, jana Jumatatu.


Kituo hicho, kinachotoa mafunzo ya uongozi na kuandaa vijana kuwa viongozi bora, kinaratibiwa na chuo Kikuu cha hicho kikongwe Afrika Mashariki.


Dkt Kikwete alitembelea chuoni hapo alipoalikwa kama mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa kwanza wa marais na viongozi wa sasa na wa zamani wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu vya Uganda ambapo alialikwa kama mgeni rasmi. Mkutano huo, uliojadili umuhimu na nafasi ya viongozi waliopo madarakani kuandaa viongozi wanaochipukia, ulihudhuriwa na zaidi ya marais na viongozi wa sasa na waliowahi kuwa viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu vya nchini Uganda zaidi ya 1,000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...