Mkuu wa wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa ametoa mkono wa pole kwa familia zilizopoteza wanafunzi wa shule ya Ghati Memorial katika maafa ya mvua,
Mkuu huyo wa wilaya anasema kuwa kila familia imepatiwa kiasi cha shilingi milioni moja huku familia ya kijana msamaria mwema aliyepoteza maisha yake akiwa anakoa wanafunzi hao ajulikanae kwa jina Brayan Tarange ikikabidhiwa kiasi cha shilingi milioni tano fedha ambazo zimetolewa na Rais Samia Suluh Hassan
Tukio hilo lilitokea Aprili 12,2024 baada ya gari la shule kuanguka kwenye korongo eneo la Dampo jijini Arusha.
.jpeg)




Mkuu huyo wa wilaya anasema kuwa kila familia imepatiwa kiasi cha shilingi milioni moja huku familia ya kijana msamaria mwema aliyepoteza maisha yake akiwa anakoa wanafunzi hao ajulikanae kwa jina Brayan Tarange ikikabidhiwa kiasi cha shilingi milioni tano fedha ambazo zimetolewa na Rais Samia Suluh Hassan
Tukio hilo lilitokea Aprili 12,2024 baada ya gari la shule kuanguka kwenye korongo eneo la Dampo jijini Arusha.
.jpeg)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...