Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Mihayo iliyopo mkoani Tabora leo tarehe 26 Mei 2024 mara baada ya kumalizika kwa ibada ya Misa takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Theresa wa Mtoto Yesu Jimbo Kuu la Tabora ambapo aliwataka watoto hao kuendelea kuishi katika maadili na kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuzishika njia zimpasazo pamoja na kuongeza juhudi na maarifa kwenye masomo yao ili baadae waje kushika nafasi mbalimbali za uongozi na kuliongoza taifa letu.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...