IJUMAA ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet tayari wamekuwekea ODDDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Ingia meridianbet na usuke mkeka wako hapa.

EPL leo hii kutakuwa na mechi moja ambayo Luton Town atakuwa mwenyeji wa Everton ambao wametoka kushinda mechi yao iliyopita. Mwenyeji anahitaji pointi tatu leo ili ajiweke kwenye nafasi nzuri ya msimamo wa ligi. Meridianbet wamempa The Toffees nafasi kubwa ya kushinda mechi hii kwa ODDS 2.55 kwa 2.60. Beti sasa.

Ligi kuu nyingine ambayo leo hii itaendelea ni kule Hispania yaani LALIGA mechi moja ya Getafe dhidi ya Athletic Club ambao wapo nafasi ya tano kwenye ligi. Mechi hiyo itapigwa kwenye dimba la Coliseum huku mechi ya mwisho walipokurtana walitoshana nguvu. Mechi hii imepewa ODDS 3.57 kwa 2.16. Jisajili hapa.

Ukiachana na mechi ndugu mteja kumbuka kucheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni ambayo inatolewa ndani ya meridianbet kama vile Poker, Roullette, Aviator, Rockertman, Keno, Sloti na mingine kibao. Ingia mchezoni na ucheze sasa.

Lakini vilevile BUNDESLIGA nayo itarindima ambapo RB Leipzig baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya TSG Hoffenheim. Mwenyeji ametoka kupoteza mchezo wake uliopita huku ndani ya Meridianbet anayependelewa zaidi kuondoka na pointi tatu ni RB akiwa na ODDS 1.47 kwa 5.48.

Halikadhalika SERIE A leo hii itakuwa mzigoni saa 3:45 Torino atapepetana dhidi ya Bologna ambao wamekuwa na kiwango kizuri sana msimu huu. Mwenyeji yupo nafasi ya 10 na mgeni yupo nafasi ya 4. Tofauti ya pointi kati yao ni 17. Je nani kuibuka kidedea? Bashiri mechi hii sasa. Ikiwa imepewa ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000.

LIGUE 1 kule Ufaransa kuna mechi ya kibabe kabisa Toulouse uso kwa uso dhidi ya Montpellier ambao wametoka kutoa sare mechi yao iliyopita. Mwenyeji yeye aliondoka na ushindi. Mechi ya mkondo wa kwanza kukutana, Mgeni alishinda. Je leo hii Toulouse atalipa kisasi?. Beti mechi hii sasa.

Mechi nyingine itakuwa majira ya saa 4:00 usiku ambapo RC Lens baada ya kupoteza mechi iliyopita, leo atakuwa nyumbani kuzichabanga dhidi ya FC Lorient ambao wapo nafasi ya pili kutoka mwisho kwenye ligi. Meridianbet wamempa mwenyeji nafasi ya kushinda kwa ODDS 1.39 kwa 7.05. Nani kushinda leo huku mechi ya kwanza walipokutana walitoshana nguvu.?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...