Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia uliofanyika Paris Nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa Kinara na Mwenyekiti Mwenza katika mkutano huo wa Kimataifa.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia uliofanyika Paris Nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa Kinara na Mwenyekiti Mwenza katika mkutano huo wa Kimataifa.

Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia uliofanyika Paris Nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa Kinara na Mwenyekiti Mwenza katika mkutano huo wa Kimataifa.


Meneja Mkuu wa Taifa Gas Davis Deogratius akizungumza kwenye Mkutano wa Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Kampuni yao ilivyopanga kuendeleza uungaji mkono matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Mwakilishi wa Total Energy Getrude Mpangile akizungumza kwenye mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Kampuni yao ilivyojipanga kuendelea uungaji mkono matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Mkuu wa Maendeleo ya Biashara na Ukuaji kutoka M-Gas Resources Ltd. Abdallah Kijangwa akizungumza kwenye mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Kampuni yao ilivyojipanga kuendelea uungaji mkono matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wadau wa Nishati Safi ya Kupikia Mhandisi Finias Magessa akizungumza kwenye mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia
Mama Lishe wa Kisasa Eva Francis Liboy akizungumzia Faida anazopata kutokana na matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kwenye mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024
Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari wakiwa kwenye Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024.


Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari wakiwa wamesimama kimya kwa dakika moja kumkumbuka na kumuombea Mwandishi wa Habari na Mpiga Picha Marehemu Noel Mwingila ambaye alikuwa mmoja ya Waandishi wa Habari aliyekuwa akihudhuria Mikutano mbalimbali iliyokuwa ikifanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...