Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo amechangia Tsh Milioni 5 wakati akiongoza Harambee katika Kanisa la Waadventista Wasabato katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Tarehe 26 Mei, 2024 ambapo zaidi ya Milioni 47 na mifuko 460 ya saruji imepatikana kuwezesha ujenzi wa Kanisa hilo.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...